
Maandamano ya Amani Ubalozi wa Marekani
Taasisi ya Mtandao Rafiki kwa kushirikiana na CHAMATA pamoja na JUMIKITA tulifanya maandamano ya Amani kuelekea Ubalozi wa Marekani ili kushinikiza kampuni za Mitandao ya Kijamii zilizopo Nchini Marekani kuongeza umakini zaidi kwenye kufuatilia uhalifu wa kimtandao unaofanywa kupitia Mtandao wa Instagram, Facebook na X.